Cristiano Ronaldo akimpongeza Paulo Dybala baada ya kuitendea vyema krosi yake kwa kuifungia Juventus bao pekee dakika ya 17 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Manchester United usiku wa jana Uwanja wa Ols Trafford kwenye mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Pope, Bumrah, Bashir - how England v India will be won and lost
-
BBC Sport and data analysts CricViz look at the key battles that could
decide the outcome of the England v India Test series.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment