Mshambuliaji Luis Suarez wa Barcelona akishangilia kwa kuonyesha picha ya mtoto wake mpya na ujumbe; 'Welcome Lauti' baada ya kufunga mabao matatu peke yake dakika za 30 kwa penalti, 75 na 83 katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Real Madrid kwenye mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Camp Nou. Mabao mengine ya Barca yamefungwa na Philippe Coutinho dakika ya 11 na A. Vidal dakika ya 87, wakati la Real limefungwa na Marcelo dakika ya 50 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Who do fans think is the key player in each Premier League team?
                      -
                    
From the "soul of the team" to an "absolute warrior", here are the Premier 
League's 20 key players, as chosen by our fan writers.
40 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment