Mshambuliaji wa Crystal Palace, Wilfried Zaha akijaribu kupasua katikati ya wachezaji wa Arsenal, Alex Iwobi na Matteo Guendouzi katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Selhurst Park mjini London timu hizo zikitoka sare ya 2-2. Mabao ya Arsenal yalifungwa na Granit Xhaka dakika ya 51 na Pierre-Emerick Aubameyang dakika ya 56, wakati ya Palace yalifungwa na Luka Milivojevic yote kwa penalti dakika za 45 na 83 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
England may play two games away from Wembley at Euro 2028
-
Euro 2028 co-hosts England face playing one group match and a possible
last-16 game away from Wembley.
41 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment