Mshambuliaji wa Crystal Palace, Wilfried Zaha akijaribu kupasua katikati ya wachezaji wa Arsenal, Alex Iwobi na Matteo Guendouzi katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Selhurst Park mjini London timu hizo zikitoka sare ya 2-2. Mabao ya Arsenal yalifungwa na Granit Xhaka dakika ya 51 na Pierre-Emerick Aubameyang dakika ya 56, wakati ya Palace yalifungwa na Luka Milivojevic yote kwa penalti dakika za 45 na 83 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Where to watch Dallas Wings vs. Indiana Fever: Live stream, start time, TV
channel for Saturday, May 9
-
Caitlin Clark and the Fever open the season against the Wings.
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment