Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia bao la kuongoza Juventus dakika ya 18 katika sare ya 1-1 na Genoa kwenye mchezo wa Serie A Uwanja wa Allianz mjini Torino. Genoa walisawazisha dakika ya 67 kupitia kwa Daniel Bessa huku Ronaldo akiweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza kufikisha mabao 400 kwenye Ligi tano za Ulaya PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Why the AFL doesn't want you to know who this mystery man is
-
The top brass at AFL headquarters won't be impressed after the reason for
the man's presence at several games was revealed on TV on Monday night.
6 minutes ago
0 comments:
Post a Comment