Jadon Sancho akishangilia baada ya kuifungia Borussia Dortmund mabao mawili dakika za 27 na 61 katika sare ya 2-2 na Hertha Berlin katika mchezo wa Bundesliga leo Uwanja wa Signal-Iduna-Park mjini Dortmund. Mabao ya Hertha Berlin nayo yote yamefungwa na Salomon Kalou dakika ya 41 na 90 kwa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Why the AFL doesn't want you to know who this mystery man is
-
The top brass at AFL headquarters won't be impressed after the reason for
the man's presence at several games was revealed on TV on Monday night.
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment