Karim Benzema na Gareth Bale wakisikitika baada ya Real Madrid kupoteza tena mechi kufuatia kufungwa nyumbani, Uwanja wa Santiago Bernabeu mabao 2-1 na Levante katika mchezo wa La Liga leo. Mabao ya Levante yamefungwa Jose Luis Morales dakika ya sita na Roger Marti dakika ya 13 kwa penalti kabla ya Marcelo kuifungia Real Madrid la kufutia machozi dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Why Liverpool don't need Alexander Isak, 16-year-old is ready for
first-team NOW - and young star must leave: THINGS WE LEARNED from
Liverpool's double-header with Athletic Bilbao
-
Liverpool rounded off pre-season in style with a 7-3 aggregate win across
two games against Athletic Club at Anfield. Our reporter NATHAN SALT came
up with...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment