Karim Benzema na Gareth Bale wakisikitika baada ya Real Madrid kupoteza tena mechi kufuatia kufungwa nyumbani, Uwanja wa Santiago Bernabeu mabao 2-1 na Levante katika mchezo wa La Liga leo. Mabao ya Levante yamefungwa Jose Luis Morales dakika ya sita na Roger Marti dakika ya 13 kwa penalti kabla ya Marcelo kuifungia Real Madrid la kufutia machozi dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Patrick Mahomes wipes out cameraman with pass Travis Kelce failed to catch
in Chiefs' loss to Bills
-
An errant throw from Patrick Mahomes during Sunday's loss to the Buffalo
Bills bounced into a cameraman squatting in the end zone, and the result
was under...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment