Kylian Mbappe akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza PSG dakika ya 65 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Marseille kwenye mechi ya mahasimu wa Ligue 1, Ufaransa maarufu kama Le Classique usiku wa jana Uwanja wa Orange Velodrome mjini Marseille. Bao la pili la PSG limefungwa na Julian Draxler dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool 1-1 Chelsea - PLAYER RATINGS: Which Blues defender 'impressed' in
a brand new role? Who took 41 MINUTES to make his first touch? And which
22-year-old star must start showing more?
-
Liverpool and Chelsea played out a 1-1 draw at Anfield on Saturday. Daily
Mail Sport's KIERAN GILL runs the rule over performances in both red and
blue at ...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment