Kinda Mspaniola, Brahim Diaz akishangilia baada ya kuifungia Manchester City mabao yote dakika za 18 na 65 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Fulham kwenye mchezo wa Kombe la Ligi England hatua ya 16 Bora usiku wa jana Uwanja wa Etihad na sasa kikosi cha Pep Guardiola kitakutana na mshindi kati ya Leicester City na Southampton katika Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Son Heung-min says goodbye to Tottenham as club legend reads emotional
letter to fans after completing record-breaking move to LAFC
-
Tottenham Hotspur officially confirmed the departure of club legend Son
Heung-min on Wednesday evening by sharing a video of the 33-year-old saying
goodbye.
55 minutes ago
0 comments:
Post a Comment