Mkongwe Wayne Rooney akiwa na wanawe wanne, Cass, Klay, Kai na Kit Uwanja wa Wembley usiku wa jana baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Marekani ambao alirejeshwa kutoka kwenye kustaafu na kuichezea tena Three Lions kwa mara ya mwisho ikishinda 3-0, hiyo ikiwa mechi yake ya 120 kuichezea nchi yake PICHA ZAIDI GONGA HAPA
How a Tory MP 37 years ago has inspired a Labour MP’s ‘stalking horse’
leadership challenge to Starmer
-
NEWS ANALYSIS: Political editor David Maddox looks at how Sir Anthony
Meyer’s challenge to Margaret Thatcher in 1989 is now being played out in
2026 by Cat...
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment