Leroy Sane akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Ujerumani dakika ya nane katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Urusi usiku wa jana kwenye mchezo wa kirafiki Uwanja wa Red Bull Arena mjini Leipzig. Mabao mengine ya Ujerumani yalifungwa na Niklas Sule dakika ya 25 na Serge Gnabry dakika ya 40 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Excellent prospect' Ngumoha stars for Liverpool - but who is he?
-
Liverpool's second youngest ever player Rio Ngumoha shines again in
pre-season to get fans wondering if he could be part of the first team this
year.
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment