Leroy Sane akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Ujerumani dakika ya nane katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Urusi usiku wa jana kwenye mchezo wa kirafiki Uwanja wa Red Bull Arena mjini Leipzig. Mabao mengine ya Ujerumani yalifungwa na Niklas Sule dakika ya 25 na Serge Gnabry dakika ya 40 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Anthony Gordon has not scored or assisted for NINETEEN Premier League
games... but CRAIG HOPE reveals why Newcastle insiders are not worried, his
honest talks with Eddie Howe and the strange motivational technique the
England star will use
-
Gordon revealed in the summer that he needs something to go wrong to come
back stronger. 'I need to make it personal with myself,' he told me in
Seoul.
47 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment