Son Heung-Min akitabasamu kwa furaha baada ya kuifungia Tottenham Hotspur mabao mawili dakika za 16 na 54 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, West Ham usiku wa jana Uwanja wa London kwenye mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la Ligi England. Bao lingin la Spurs lilifungwa na Fernando Llorente dakika ya 75, wakati la WHU limefungwa na Lucas Perez 71 na sasa Tottenham itakuwa na Arsenal katika Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Namewee to be remanded over Taiwanese influencer Iris Hsieh’s death; Taiwan
seizes US$150m, detains 25 in Prince Group scam probe: SIngapore live news
-
Namewee wanted in Taiwan influencer Iris Hsieh’s death reclassified murder.
Taiwan seizes US$150 million Prince Group assets, 25 held in scam probe
tied to...
27 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment