Son Heung-Min akitabasamu kwa furaha baada ya kuifungia Tottenham Hotspur mabao mawili dakika za 16 na 54 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, West Ham usiku wa jana Uwanja wa London kwenye mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la Ligi England. Bao lingin la Spurs lilifungwa na Fernando Llorente dakika ya 75, wakati la WHU limefungwa na Lucas Perez 71 na sasa Tottenham itakuwa na Arsenal katika Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Atletico Madrid believe Barcelona target could leave; sale possible if high
offer arrives
-
In what could be a big boost to FC Barcelona’s transfer plans, journalist
Pedro Fullana of Cadena SER reports that Atletico Madrid are starting to
believe ...
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment