Kiungo Mfaransa, Alexandre Lacazette akishangilia baada ya kuifungia Arsenal bao pekee dakika ya 16 tu katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Qarabaq kwenye mchezo wa Kundi E Europa League usiku wa Alhamisi Uwanja wa Emirates mjini London. Kwa ushindi huo, Arsenal inamaliza na pointi 16 mbele ya Sporting iliyomaliza na pointi 13 wakizipiku Vorskla na Qarabag zilizomaliza na pointi tatu kila moja PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ademola Lookman in fierce altercation with his OWN manager: Ex-Premier
League star has to be separated from Atalanta boss as they almost come to
blows after player's furious reaction to being substituted
-
A former Premier League star had to be held back during a furious row after
being grabbed by his own manager on Wednesday night in the Champions League.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment