Kiungo Mfaransa, Alexandre Lacazette akishangilia baada ya kuifungia Arsenal bao pekee dakika ya 16 tu katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Qarabaq kwenye mchezo wa Kundi E Europa League usiku wa Alhamisi Uwanja wa Emirates mjini London. Kwa ushindi huo, Arsenal inamaliza na pointi 16 mbele ya Sporting iliyomaliza na pointi 13 wakizipiku Vorskla na Qarabag zilizomaliza na pointi tatu kila moja PICHA ZAIDI GONGA HAPA
🚨 Bizarre situation, Le Mans's promotion to Ligue 1 isn't official!
-
Total confusion on the final day of Ligue 2.After more than 40 minutes of
silence, the referee officially announced that the match between Bastia and
Le Ma...
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment