Kiungo Mfaransa, Alexandre Lacazette akishangilia baada ya kuifungia Arsenal bao pekee dakika ya 16 tu katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Qarabaq kwenye mchezo wa Kundi E Europa League usiku wa Alhamisi Uwanja wa Emirates mjini London. Kwa ushindi huo, Arsenal inamaliza na pointi 16 mbele ya Sporting iliyomaliza na pointi 13 wakizipiku Vorskla na Qarabag zilizomaliza na pointi tatu kila moja PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Excellent prospect' Ngumoha stars for Liverpool - but who is he?
-
Liverpool's second youngest ever player Rio Ngumoha shines again in
pre-season to get fans wondering if he could be part of the first team this
year.
37 minutes ago
0 comments:
Post a Comment