Mshambuliaji Mfaransa, Karim Benzema akishangilia baada ya kufunga mabao yote mawili dakika za 59 na 81 Real Madrid ikiibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya Eibar usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu kwenye mchezo wa La Liga. Bao la Eibar lilifungwa na Marc Cardona dakika ya 39 na sasa Real Madrid inazidiwa pointi 13 na vinara, Barcelona baada ya wote kucheza mechi 31 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Angry Leeds fan tries to confront Daniel Farke and is led away by stewards
as tempers boil over at Elland Road after defeat by Aston Villa
-
Leeds boss Daniel Farke said he shared the fans' 'anger and disappointment'
after a 2-1 home defeat to Aston Villa left them in the Premier League
relegati...
36 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment