Mshambuliaji Mfaransa, Karim Benzema akishangilia baada ya kufunga mabao yote mawili dakika za 59 na 81 Real Madrid ikiibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya Eibar usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu kwenye mchezo wa La Liga. Bao la Eibar lilifungwa na Marc Cardona dakika ya 39 na sasa Real Madrid inazidiwa pointi 13 na vinara, Barcelona baada ya wote kucheza mechi 31 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
DHQ seeks media support as key player in fight against terrorism
-
From Molly Kilete, Abuja The Chief of Defence Staff (CDS), General
Christopher Musa, on Thursday said that the media remains a powerful tool
in the fight...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment