Mshambuliaji Mfaransa, Karim Benzema akishangilia baada ya kufunga mabao yote mawili dakika za 59 na 81 Real Madrid ikiibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya Eibar usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu kwenye mchezo wa La Liga. Bao la Eibar lilifungwa na Marc Cardona dakika ya 39 na sasa Real Madrid inazidiwa pointi 13 na vinara, Barcelona baada ya wote kucheza mechi 31 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
See the stunning moment AFL grand final performer pleads for help in the
middle of his song as he's hit by horror technical stuff-up at the MCG
-
Aussie music legend Mike Brady has endured a nightmare moment on stage at
the AFL grand final, with soundtrack issues flattening his performance of
Up Ther...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment