Lionel Messi (katikati) akikimbia kushangilia baada ya kuifngia bao la pili Barcelona dakika ya 86 kufuatia Luis Suarez kufunga la kwanza dakika ya 85 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Atletico Madrid kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou. Sasa Barcelona inaongoza La Liga kwa pointi 11 zaidi ya Atletico Madrid wanaofuatia kwenye msimamo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Neymar SUES Brazilian journalist who accused him of being 'addicted to
whiskey, energy drinks and late-night gaming sessions'... as injury-plagued
star responds to wild claims with cryptic social media post
-
Neymar is taking legal action after being accused of an 'addiction to
whisky and energy drinks' along with unprofessional 'late-night gaming
sessions'.
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment