Lionel Messi (katikati) akikimbia kushangilia baada ya kuifngia bao la pili Barcelona dakika ya 86 kufuatia Luis Suarez kufunga la kwanza dakika ya 85 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Atletico Madrid kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou. Sasa Barcelona inaongoza La Liga kwa pointi 11 zaidi ya Atletico Madrid wanaofuatia kwenye msimamo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NBA Finals set for Game 7 as Indiana Pacers blow Oklahoma City Thunder away
to level the series
-
The NBA Finals will have a nerve-shredding conclusion on Sunday after the
Indiana Pacers dominated the Oklahoma City Thunder on Thursday night to
level the...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment