Vincenzo Grifo (kulia) akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Italia mabao mawili dakika za 14 na 75 kwa penalti katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Estonia, mabao mengine yakifungwa na Federico Bernardeschi dakika ya 27 na Riccardo Orsolini kwa penalti pia dakika ya 86 kwenye mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Artemio Franchi Jijini Firenze PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Nottingham Forest launch surprise swoop for Manchester City star following
£30m James McAtee deal as Nuno Espirito Santo's side ramp up late transfer
spree
-
EXCLUSIVE: Nottingham Forest want to complete a double swoop of Manchester
City academy talents by landing Rico Lewis alongside James McAtee.
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment