Mshambuliaji wa Arsenal, Alexis Sanchez (kushoto) akiichezea timu yake ya taifa, Chile jana ikitoa sare ya 1-1 na Colombia katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia 2018 Urusi kwa bara la Amerika Kusini mjini Santiago. Bao la Chile lilifungwa na Arturo Vidal wakati la Colombia lilifungwa na James Rodriguez PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Buddhist monk arrested over alleged rape of teen in Sri Lanka
-
The Venerable Pallegama Hemarathana Thero holds one of the most revered
positions in the Buddhist world.
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment