Mshambuliaji wa Arsenal, Alexis Sanchez (kushoto) akiichezea timu yake ya taifa, Chile jana ikitoa sare ya 1-1 na Colombia katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia 2018 Urusi kwa bara la Amerika Kusini mjini Santiago. Bao la Chile lilifungwa na Arturo Vidal wakati la Colombia lilifungwa na James Rodriguez PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Peace in Niger Delta boosts oil, gas revenue – FIRS boss
-
Says military critical to meeting 2025 tax target From Adanna Nnamani,
Abuja The Federal Inland Revenue Service (FIRS) chairman, Dr Zacch Adedeji,
has sa...
37 minutes ago
0 comments:
Post a Comment