Mbrazil Oscar akishangilia baada ya kuifungia Chelsea dakika ya 29 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Crystal Palace katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Selhurst jioni ya leo. Mabao mengine ya Chelsea yamefungwa na Willian dakika ya 60 na Diego Costa dakika ya 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jasprit Bumrah entered the arena like a gladiator and we stood still in the
presence of greatness, writes OLIVER HOLT after India bowler dismantles
England's top order at Headingley
-
OLIVER HOLT AT HEADINGLEY: When Bumrah stood at the top of his mark at the
Kirkstall Lane End, everything seemed to stop. The hum of the hordes on the
West...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment