![]()  | 
| Nahodha wa Azam FC, John Bocco akiwatoka wachezaji wa Mgambo JKT | 
![]()  | 
| Beki wa Azam FC, Msenegali Racine Diouf akipiga kichwa mbele ya mchezaji mwenzake, John Bocco | 
![]()  | 
| Kiungo wa Azam FC, Jean Baptiste Mugiraneza (kulia) akipambana na mchezaji wa Mgambo JKT | 
![]()  | 
| Mshambuliaji wa Azam FC, Ame Ali 'Zungu' akimzuia mchezaji wa Mgambo JKT katika kuwania mpira | 
![]()  | 
| Kikosi cha Azam FC kilichoendeleza ubabe dhidi ya timu za Tanga Uwanja wa Mkwakwani jana | 








.png)
0 comments:
Post a Comment