SAFARI NJEMA MBWANA ALLY SAMATTA, KILA LA HERI KATIKA MAISHA MAPYA UBELGIJI
Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta akiwa ndani ya ndege ya KLM usiku wa jana kwa safari ya Ubelgiji kwenda kujiunga na klabu ya KRC Genk ya Ligi Kuu ya nchini humo baada ya kuruhusiwa na klabu ya TP Mazembe ya DRC aliyoichezea tangu mwaka 2011
0 comments:
Post a Comment