Kiungo wa Barcelona, Sergio Busquets akipasua katikati ya wachezaji wa Athletic Bilbao katika mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Kombe Mfalme. Barcelona iliyocheza bila washambuliaji wake wawili nyota Lionel Messi na Luis Suarez imeshinda 2-1 Uwanja wa San Mames Barris, mabao ya Neymar na Munir El Haddadi, wakati bao la wenyeji limefungwa na Aduriz Zubeldia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Predictor picks: Find out who our expert is backing this weekend... and
play the game with £1,000 up for grabs
-
Predictor is our simple, free-to-play competition where you can win big
cash prizes, with £1,000 up for grabs weekly. Guess the winner of six
Premier Leagu...
3 minutes ago
0 comments:
Post a Comment