Kiungo wa Barcelona, Sergio Busquets akipasua katikati ya wachezaji wa Athletic Bilbao katika mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Kombe Mfalme. Barcelona iliyocheza bila washambuliaji wake wawili nyota Lionel Messi na Luis Suarez imeshinda 2-1 Uwanja wa San Mames Barris, mabao ya Neymar na Munir El Haddadi, wakati bao la wenyeji limefungwa na Aduriz Zubeldia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Moment motorbiking ace Marc Marquez suffering spectacular cartwheeling Moto
GP crash as he breaks foot when thrown off bike
-
The 33-year-old Spaniard was launched into the air after losing control at
Turn 14 on the penultimate lap, with his Ducati machine somersaulting
across the...
14 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment