Rais wa Shirikisho la Soka Asia (AFC) na Makamu wa Rais wa (FIFA), Sheikh Salman Bin Ebrahim Al Khalifa (kushoto) akiwa katika ofisi za Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) leo wakati alipotembelea katika ziara yake ya siku mbili nchini tangu jana alipowasili. Wengine ni Rais wa TFF, Jamal Malinzi (katikati) na Selestine Mwesigwa (kushoto). Sheikh Khalifa pia alitembelea ofisi za Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo na kufanya mazungmzo mafupi na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Profesa Elisante Ole Gabriel
Hockey coach is fired for posing with man dressed as a Nazi at Halloween 
party that sparked fury
                      -
                    
Jessie Rudin, a former Bulldogs player who later joined the coaching staff, 
was seen smiling alongside the man - identified as Donnie Gardner - as he 
perfo...
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment