Mshambuliaji wa Barcelona, Neymar akiifungia timu yake bao la tatu katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Athletic Bilbao kwenye mchezo wa Kombe la Mfalme usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou na kutinga Nusu Fainali. Mabao mengine ya Barca yamefungwa na Luis Suarez na Gerard Pique wakati la Bilbao limefungwa na Inaki Williams PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arne Slot delivers worrying Alexander Isak injury update ahead of
Liverpool's Real Madrid and Man City double-header
-
The £125million man has scored just one goal since his much-slated move to
Merseyside but has been irked by fitness concerns exacerbated by a recent
groin ...
14 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment