Viungo Yaya Toure (kushoto) wa Manchester City akipambana na Alex Song wa West Ham United jana Uwanja wa Upton Park katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Timu hizo zilitoka 2-2, mabao ya City yote yalifungwa na Sergio Aguero la kwanza kwa penalti na lingine dakika za lala salama baada kuukuta mpira kwenye boksi, wakati ya West Ham pia yote yamefungwa na Enner Valencia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Swiatek becomes latest seed to fall at Canadian Open
-
Wimbledon champion Iga Swiatek becomes the latest seed to fall at the
Canadian Open as she loses to Clara Tauson in the fourth round.
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment