Kiungo wa KCC, Jackson Mayanja (kushoto) akikimbia na mpira kuurudisha kati uanze baada ya kuifungia timu yake katika ushindi wa 2-0 dhidi ya SC Villa kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Uganda mwaka 1997 Uwanja wa Nakivubo mjini Kampala. Mayanja kwa sasa ni kocha wa Simba SC na mbali na KCC alicheza pia SC Villa na timu ya taifa ya Uganda, The Cranes
Liverpool 1-1 Chelsea - PLAYER RATINGS: Which Blues defender 'impressed' in
a brand new role? Who took 41 MINUTES to make his first touch? And which
22-year-old star must start showing more?
-
Liverpool and Chelsea played out a 1-1 draw at Anfield on Saturday. Daily
Mail Sport's KIERAN GILL runs the rule over performances in both red and
blue at ...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment