Kiungo wa KCC, Jackson Mayanja (kushoto) akikimbia na mpira kuurudisha kati uanze baada ya kuifungia timu yake katika ushindi wa 2-0 dhidi ya SC Villa kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Uganda mwaka 1997 Uwanja wa Nakivubo mjini Kampala. Mayanja kwa sasa ni kocha wa Simba SC na mbali na KCC alicheza pia SC Villa na timu ya taifa ya Uganda, The Cranes
Arne Slot delivers worrying Alexander Isak injury update ahead of
Liverpool's Real Madrid and Man City double-header
-
The £125million man has scored just one goal since his much-slated move to
Merseyside but has been irked by fitness concerns exacerbated by a recent
groin ...
14 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment