Bryan Oviedo wa Everton (kushoto) akipambana na Ki Sung-Yueng wa Swansea City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Goodison Park. Swansea imeshinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Gylfi Sigurdsson kwa penalti baada ya Tim Howard kumchezea rafu Andre Ayew, aliyefunga bao la pili, wakati la Everton limefungwa na Jack Cork aliyejifunga kutokana na mpira wa Gareth Barry PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Yankees fans demand Aaron Boone is fired as season hits new low and stands
of the brink of catastrophe
-
New York Yankees fans are demanding Aaron Boone is fired as season hits a
new low and stands of the brink of catastrophe following the franchise's
sweep at...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment