Bryan Oviedo wa Everton (kushoto) akipambana na Ki Sung-Yueng wa Swansea City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Goodison Park. Swansea imeshinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Gylfi Sigurdsson kwa penalti baada ya Tim Howard kumchezea rafu Andre Ayew, aliyefunga bao la pili, wakati la Everton limefungwa na Jack Cork aliyejifunga kutokana na mpira wa Gareth Barry PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arne Slot delivers worrying Alexander Isak injury update ahead of
Liverpool's Real Madrid and Man City double-header
-
The £125million man has scored just one goal since his much-slated move to
Merseyside but has been irked by fitness concerns exacerbated by a recent
groin ...
15 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment