Mshambuliaji wa Liverpool, Christian Benteke (kushoto), akienda hewani kupiga mpira kichwa dhidi ya wachezaji wa West Ham United katika mchezo wa Raundi ya Nne ya Kombe la FA England usiku wa leo Uwanja wa Anfield. Timu hizo zimetoka sare ya 0-0 na sasa zitarudiana kutafuta timu ya kusonga mbele PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Predictor picks: Find out who our expert is backing this weekend... and
play the game with £1,000 up for grabs
-
Predictor is our simple, free-to-play competition where you can win big
cash prizes, with £1,000 up for grabs weekly. Guess the winner of six
Premier Leagu...
3 minutes ago
0 comments:
Post a Comment