Mshambuliaji wa Liverpool, Christian Benteke (kushoto), akienda hewani kupiga mpira kichwa dhidi ya wachezaji wa West Ham United katika mchezo wa Raundi ya Nne ya Kombe la FA England usiku wa leo Uwanja wa Anfield. Timu hizo zimetoka sare ya 0-0 na sasa zitarudiana kutafuta timu ya kusonga mbele PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Why the AFL doesn't want you to know who this mystery man is
-
The top brass at AFL headquarters won't be impressed after the reason for
the man's presence at several games was revealed on TV on Monday night.
7 minutes ago
0 comments:
Post a Comment