Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akikimbia kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao la ushindi leo dhidi ya wenyeji, Malaga Uwanja wa La Rosaleda katika mchezo wa La Liga. Bao lingine la Barca limefungwa na El Haddadi Mohamed Munir, wakati la Malaga limefungwa na Juan Pablo Anor PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arne Slot delivers worrying Alexander Isak injury update ahead of
Liverpool's Real Madrid and Man City double-header
-
The £125million man has scored just one goal since his much-slated move to
Merseyside but has been irked by fitness concerns exacerbated by a recent
groin ...
15 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment