Mshambuliaji Luis Suarez (katikati) akiifungia Barcelona bao la pili katika ushindi wa 4-2 dhidi ya Leicester City mjini Stockholm usiku wa kuamkia leo. Mabao mengine ya Barca yamefungwa na Munir mawili na Rafa Mujica, wakati ya Leicester yote yamefungwa na Ahmed Musa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Middlesbrough appoint ex-Luton boss Edwards
-
Middlesbrough appoint ex-Luton Town manager Rob Edwards to replace Michael
Carrick, who was sacked earlier this month after nearly three years in
charge.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment