Mshambuliaji wa KRC Genk ya Ubelgiji, Mtanzania Mbwana Samatta akiwapiga picha wachezaji wenzake wakati walipokuwa safarini kwenda Ireland juzi usiku kwa ajili ya mchezo wa marudiano wa Europa League dhidi ya wenyeji Cork City FC. Mchezo huo ulifanyika jana Genk kushinda 2-1 hivyo kufuzu kusonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 3-1 baada ya wiki iliyopita kushinda 1-0 nyumbani
Angry Leeds fan tries to confront Daniel Farke and is led away by stewards
as tempers boil over at Elland Road after defeat by Aston Villa
-
Leeds boss Daniel Farke said he shared the fans' 'anger and disappointment'
after a 2-1 home defeat to Aston Villa left them in the Premier League
relegati...
1 hour ago




.png)
0 comments:
Post a Comment