Feipe Anderson wa Brazil akiuchukua mpira wa juu kwa ustadi wa hali ya juu pembeni ya Mothobi Mvala wa Afrika Kusini katika mchezo wa Kundi A Olimpiki soka wanaume usiku wa jana mjini Brasilia timu hizo zikitoka sare ya 0-0. Mechi nyingine za Ufunguzi Olimpiki wanaume, Iraq ilitoka 0-0 na Denmark Kundi A pia, Sweden 1-1 na Colombia Kundi B, Mexico 2-2 na Ujerumani Kundi C na Honduras 3-2 dhidi ya Algeria Kundi D PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Angry Leeds fan tries to confront Daniel Farke and is led away by stewards
as tempers boil over at Elland Road after defeat by Aston Villa
-
Leeds boss Daniel Farke said he shared the fans' 'anger and disappointment'
after a 2-1 home defeat to Aston Villa left them in the Premier League
relegati...
45 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment