Mesut Ozil akishangilia baada ya kufunga mabao matatu peke yake katika ushindi wa 6-0 dhidi ya Ludogorets ya Bulgaria usiku wa Jumatano kwenye mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao mengine ya Arsenal yalifungwa na Alexis Sanchez, Theo Walcott na Alex Oxlade-Chamberlain Uwanja wa Emirates PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Michael Carrick caught a worrying glimpse of the future during Man United's
stalemate at Sunderland, writes CHRIS WHEELER - while the exit door looms
for one £36.5m signing
-
CHRIS WHEELER: Of more concern to Carrick will be how much United missed
the midfielder at the Stadium of Light. They missed his experience and
poise in mi...
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment