Shkodran Mustafi wa Arsenal akimvuta jezi Troy Deeney wa Watford (kushoto) katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Emirates, London. Watford ilishinda 2-1 ugenini mabao yake yakifungwa na Younes Kaboul dakika ya 10 na Deeney dakika ya 13, wakati la Arsenal lilifungwa na Alex Iwobi dakika ya 58 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Defamation: Natasha granted N50m bail after no-guilty plea
-
Suspended Senator Natasha Akpoti-Uduaghan was granted a N50 million bail on
Thursday after pleading not guilty to alleged defamation. The senator
represe...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment