Shkodran Mustafi wa Arsenal akimvuta jezi Troy Deeney wa Watford (kushoto) katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Emirates, London. Watford ilishinda 2-1 ugenini mabao yake yakifungwa na Younes Kaboul dakika ya 10 na Deeney dakika ya 13, wakati la Arsenal lilifungwa na Alex Iwobi dakika ya 58 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Move aside, Luiz and Lehmann! Introducing football's glamorous new POWER
couple who sparked up a romance at the same Premier League club
-
For a long time Alisha Lehmann and Douglas Luiz represented football's most
prominent power couple - but their break up has paved the way for another
duo t...
58 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment