Vita ya Wabrazil; Beki wa Chelsea, David Luiz (kulia) akipiga mpira kichwa dhidi ya Mbrazil mwenzake, mshambuliji wa Liverpool, Roberto Firmino (kushito) katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Anfield timu hizo zikitoka sare ya 1-1. Luiz alianza kuifungia The Bluse dakika ya 24, kabla ya Diego Costa kukosa penalti dakika ya 76 iliyookolewa na kipa Simon Mignolet baada ya Georginio Wijnaldum kuisawazishia Liverpool dakika ya 57 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Footy legend's partner gives a shattering account of his last moments as
she tried to save his life with CPR as meth killed him: 'I was screaming at
him to keep his eyes open'
-
The grieving partner of former AFL premiership-winning star Adam Hunter has
revealed the devastating details of what happened on the night of February
4 th...
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment