Christian Benteke akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Ubelgiji dakika za 42 na 45 katika sare ya 3-3 na wenyeji, Urusi kwenye mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Olimpiyskiy Fisht, Sochi. Bao lingine la Ubelgiji lilifungwa na Kevin Mirallas wakati ya Urusi yalifungwa na Viktor Vasin dakika ya tatu, Aleksei Miranchuk dakika ya 74 na Aleksandr Bukharov dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Emotional Liverpool legend Graeme Souness on the verge of tears as he opens
up about supporting 'beautiful' young girl, 13, with 'the cruellest' skin
condition
-
The Scotsman appeared on Good Morning Britain with hosts Susanna Reid and
Ed Balls to discuss the skin condition epidermolysis bullosa.
26 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment