Olivier Giroud akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Ufaransa 28 na 77 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Luxembourg usiku wa jana Uwanja wa Josy Barthel mjini Letzebuerg, Luxembourg kwenye mchezo wa Kundi A kufuzu Kombe la Dunia. Bao lingine la Ufaransa lilifungwa na Antoine Grizemann dakika ya 77, wakati la Luxembourg lilifungwa na Aurelien Joachim dakika ya 34 PICHA ZAIDI GONGA HAAPA
Kwande leaders endorse Tinubu for 2027, applaud Akume’s developmental
strides
-
From Juliana Taiwo-Obalonye, Abuja A high-powered delegation from Kwande
Local Government Area (LGA) of Benue State has declared unwavering support
for P...
55 minutes ago
0 comments:
Post a Comment