Lionel Messi wa Argentina akimfunga kwa penalti kipa wa Chile, Claudio Bravo dakika ya 16 Uwanja wa Monumental Antonio Vespucio Liberti mjini Buenos Aires kuipatia timu yake bao pekee katika ushindi wa 1-0 kwenye mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia kanda ya Amerika Kusini, siku 269 baada ya kukosa penalti kwenye fainali ya Copa America PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Yankees star Aaron Judge greets wife Samantha with a kiss after she
finishes New York City Marathon
-
Yankees star Aaron Judge was all smiles on Sunday as he congratulated his
wife Samantha on finishing the New York City Marathon.
27 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment