Mario Gomez akienda hewani kuifungia Ujerumani bao la tatu dakika ya 45 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, Azerbaijan usiku wa jana Uwanja wa Tofiq Bəhramov adına Respublika stadionu mjini Bakı, Baku katika mchezo wa Kundi C kufuzu Kombe la Dunia. Mabao mengine ya Ujerumani yalifungwa na Andre Schurrle mawili dakika za 19 na 81 na Thomas Muller dakika ya 36 wakati la wenyeji lilifungwa na Dimitrij Nazarov dakika ya 31 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Why Liverpool don't need Alexander Isak, 16-year-old is ready for
first-team NOW - and young star must leave: THINGS WE LEARNED from
Liverpool's double-header with Athletic Bilbao
-
Liverpool rounded off pre-season in style with a 7-3 aggregate win across
two games against Athletic Club at Anfield. Our reporter NATHAN SALT came
up with...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment