Mario Gomez akienda hewani kuifungia Ujerumani bao la tatu dakika ya 45 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, Azerbaijan usiku wa jana Uwanja wa Tofiq Bəhramov adına Respublika stadionu mjini Bakı, Baku katika mchezo wa Kundi C kufuzu Kombe la Dunia. Mabao mengine ya Ujerumani yalifungwa na Andre Schurrle mawili dakika za 19 na 81 na Thomas Muller dakika ya 36 wakati la wenyeji lilifungwa na Dimitrij Nazarov dakika ya 31 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Where to watch Dallas Wings vs. Indiana Fever: Live stream, start time, TV
channel for Saturday, May 9
-
Caitlin Clark and the Fever open the season against the Wings.
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment