Cristiano Ronaldo akiifungia bao timu yake ya taifa, Ureno dakika ya18 jana ikifungwa 3-2 na Sweden Uwanja wa Maritimo katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa. Bao lingine la Ureno lilifungwa na Andreas Granqvist aliyejifunga dakika ya 34, wakati ya Sweden yalifungwa na Viktor Claesson mawili dakika za 57 na 76 na Joao Cancelo aliyejifunga dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
Excavator brings down building in controlled demolition
                      -
                    
On October 29, 2025, in Sichuan, China, a video captured an excavator 
drilling into a building as it was demolished. Water was sprayed to 
suppress dust, cr...
52 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment