Cheikh Ndoye wa Senegal (kushoto) akiudhibiti mpira dhidi ya Ogenyi Onazi wa Nigeria (kulia) katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa usiku wa jana Uwanja wa Hive, Barnet, London timu hizo zikitoka sare ya 1-1. Senegal ilitangulia kwa bao la Moussa Sow dakika ya 54 kabla ya Kelechi Iheanacho kuisawazishia Nigeria dakika ya 83 kwa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Why the AFL doesn't want you to know who this mystery man is
-
The top brass at AFL headquarters won't be impressed after the reason for
the man's presence at several games was revealed on TV on Monday night.
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment