Nyota wa Brazil, Philip Coutinho (kulia) akishangilia baada ya kuifungia Brazil katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Paraguay kwenye mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia 2018 kwa Amerika ya Kusini Uwanja wa Arena Corinthians mjini Sao Paulo, Brazil. Coutinho alifunga dakika ya 34, Neymar dakika ya 64 wakati bao lingine lilifungwa na Marcelo dakika ya 86 na Brazil inakuwa timu ya kwanza kufuzu Kombe la Dunia 2018 Urusi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Emotional Liverpool legend Graeme Souness on the verge of tears as he opens
up about supporting 'beautiful' young girl, 13, with 'the cruellest' skin
condition
-
The Scotsman appeared on Good Morning Britain with hosts Susanna Reid and
Ed Balls to discuss the skin condition epidermolysis bullosa.
32 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment