Kiungo wa Manchester City, David Silva (kulia) akipiga shuti kuifungia bao la kwanza Hispania dakika ya 13 usiku wa jana katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Israel kwenye mchezo wa Kundi G kufuzu Kombe la Dunia Uwanja wa Manispaa ya El Molinon mjini Gijon. Mabao mengine ya Hispania yalifungwa na Vitolo dakika ya 45 na ushei, Diego Costa na Isco wakati la Israel lilifungwa na Lior Refaelov dakika ya 76 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Boxing legend Floyd Mayweather Jr. sparks fury with comments on Israel
-
Weeks after a ceasefire agreement between Hamas militants from Gaza and
Israel's government, undefeated boxing legend Floyd Mayweather Jr. has now
entered ...
46 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment