Beki Leonardo Bonucci akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Italia dakika ya 32 ikiwalaza 2-1 wenyeji Uholanzi katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa Amsterdam Arena jana. Alessio Romagnoli alijifunga dakika ya 10 kuwapatia Uholanzi bao la kuongoza, lakini Eder Martins akaisawazishia Italia dakika moja baadaye PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Napoli held by Casertana on McTominay’s return 🔙
-
Everything happened in the first 45 minutes between Napoli and Casertana.
The fourth pre-season friendly of the azzurri ended in a draw: 1-1, with
goals fr...
7 minutes ago
0 comments:
Post a Comment