Beki Leonardo Bonucci akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Italia dakika ya 32 ikiwalaza 2-1 wenyeji Uholanzi katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa Amsterdam Arena jana. Alessio Romagnoli alijifunga dakika ya 10 kuwapatia Uholanzi bao la kuongoza, lakini Eder Martins akaisawazishia Italia dakika moja baadaye PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Manchester City 2-0 Wydad AC: Phil Foden and Jeremy Doku on the scoresheet
as Pep Guardiola's side ease to victory despite Rico Lewis red card to
begin Club World Cup title defence
-
JACK GAUGHAN AT AT LINCOLN FINANCIAL FIELD: Pep Guardiola used a dinner on
the beach in Florida to impress on Manchester City's players that this is a
new ...
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment