Jermain Defoe (kulia) akishangilia na mchezaji mwenzake, Raheem Sterling aliyemtilia krosi kuifungia England bao la kwanza dakika 21 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Lithuania usiku wa jana Uwanja wa Wembley, London, England kwenye mchezo wa Kundi F kufuzu Kombe la Dunia. Mshambuliaji Jamie Vardy naye akatokea benchi kwenda kuifungia bao la pili England dakika ya 65 na kwa ushindi huo, Simba Watatu wanaendelea kuongoza kundi hilo kwa kufikisha pointi 13 baada ya kucheza mechi tano, wakifuatiwa na Slovakia wenye pointi tisa, Slovenia pointi nane, Scotland pointi saba, Lithuania pointi tano na Malta ambao hawana pointi PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
Hockey coach is fired for posing with man dressed as a Nazi at Halloween 
party that sparked fury
                      -
                    
Jessie Rudin, a former Bulldogs player who later joined the coaching staff, 
was seen smiling alongside the man - identified as Donnie Gardner - as he 
perfo...
19 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment