Juan Carlos Arce akishangilia baada ya kuifungia Bolivia bao la kwanza dakika ya 31 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Argentina jana Uwanja wa Hernando Siles mjini La Paz katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia kwa Amerika ya Kusini. Bao la pili lilifungwa na Marcelo Martins Moreno dakika ya 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bruno Fernandes and Iliman Ndiaye come to blows in fiery clash as Everton
hold Man United to 2-2 draw in Atlanta
-
The flashpoint occurred just before Everton's second equaliser. Fernandes
slid in from behind on Ndiaye near the halfway line, prompting an angry
reaction ...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment