Mshambuliaji wa Manchester City, Sergio Aguero akiwa mazoezini jana Uwanja wa akademi ya klabu hiyo kujiandaa na mchezo wao wa kesho dhidi ya Stoke City Uwanja wa Etihad. Aguero amerudi mazoezini baada ya wiki mbili zilizopita kupata ajali alipokuwa anatoka kwenye tamasha la muziki mjini Amsterdam, Uholanzi na alitarajiwa kukosa mechi nyingi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Namewee to be remanded over Taiwanese influencer Iris Hsieh’s death; Taiwan
seizes US$150m, detains 25 in Prince Group scam probe: SIngapore live news
-
Namewee wanted in Taiwan influencer Iris Hsieh’s death reclassified murder.
Taiwan seizes US$150 million Prince Group assets, 25 held in scam probe
tied to...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment