Tom Cleverley akikimbia kushangilia na Troy Deeney baada ya kuifungia Watford bao la ushindi dakika ya 90 na ushei wakiwafunga Arsenal 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Vicarage Road leo. Katikati ni mfungaji wa bao lao la Arsenal, Per Mertesacker dakika ya 39 akiwa ameshika kiuno. Bao la Kwanza la Watford lilifungwa na Troy Deeney kwa penalti dakika ya 71 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
England squad announcement LIVE: Arsenal star AXED after Thomas Tuchel
warning, former NON-LEAGUE player gets wildcard call-up and Bellingham,
Foden and Wharton return
-
Follow Daily Mail Sport's live blog as Thomas Tuchel names his Three Lions
squad for their 2026 World Cup qualifying matches against Serbia and
Albania.
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment