Alberto Moreno wa Liverpool akimruka Ashley Young wa Manchester United leo Uwanja wa Anfield katika mchezo wa Ligi Kuu ya England uliomalizika kwa sare ya bila mabao. Kwa sare hiyo, United inapaa kileleni mwa msimamo wa ligi ikifikisha pointi 20 baada ya kucheza mechi nane, mbele ya Manchester City wenye pointi 19 za mechi saba, ambao Saa 11:00 wanacheza na Stoke City Uwanja wa Etihad PICHA ZAIDI GONGA HAPA
New Rangers dawn as far away as ever in European Groundhog Day
-
Rangers' resurrection under new regime still feels a pipe dream after
latest European defeat, writes BBC Scotland's Scott Mullen.
47 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment