Marcelo akinyoosha kidole juu kushangilia baada ya kuifungia Real Madrid bao la tatu dakika ya 82 ikiilaza 3-0 Eibar usiku wa jana kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid, Hispania. Mabao mengine ya Real, Paulo Oliveira alijifunga dakika ya 18 na lingine alifunga Marco Asensio dakika ya 28 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal vs Atletico Madrid - Champions League LIVE: Premier League leaders
go up against Diego Simeone's 'furious' side a day after Spaniards kick off
over lack of hot water
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Arsenal welcome Atletico Madrid to the Emirates in the Champions
League.
3 minutes ago
0 comments:
Post a Comment