Refa Ruddy Buquet akimuonyesha kadi nyekundu mshambuliaji wa Paris Saint-Germain, Neymar Junior dakika ya 87 baada ya kumuonyesha kadi ya pili njano dakika mbili tu baada ya kumuonyesha kadi ya kwanza ya njano katika mchezo wa Ligue 1, Ufaransa usiku wa jana Uwanja wa Velodrome mjini Marseille. Timu hizo zilitoka sare ya 2-2, mabao ya PSG yakifungwa na Neymar dakika ya 33 na Edinson Cavani dakika ya 90 na ushei, wakati ya Marseille yalifungwa na Luiz Gustavo dakika ya 16 na Florian Thauvin dakika ya 78 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Why Andrew Johns is helping England's future stars - as the NRL Immortal
addresses speculation he may eventually end up a head coach
-
Rugby league Immortal Andrew Johns wants England to be competitive in this
weekend's first Ashes Test - and also gave an insight into a potential
future as...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment