Wachezaji wa Fenerbahce wakimuokoa refa wa pembeni, Tark Ongun aliyekuwa akishambuliwa kwa chupa, makopo na vitu vingine na mashabiki wa Galatasaray katika mchezo wa mahasimu wa Jiji wa la Istanbul uliomalizika kwa sare ya 0-0 usiku wa jana Uwanja wa Turk Telekom mjini İstanbul, Uturuki. Vurugu hizo zilitokea dakika ya 73, baada ya winga wa wenyeji, Younes Belhanda kuonyeshwa kadi ya pili ya njano kwa kujirusha na kutolewa kwa kadi nyekundu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Prostitutes, police charges, public sex acts: Incredible sordid truth about
the NFL 'love boat' scandal... amid Vrabel-Russini drama
-
While the controversy surrounding Vrabel and Russini has captivated social
media over the last month, it's far from the first time that an illicit
nautical...
21 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment